Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amewasili mjini Muscat, Oman, kwa ziara ya kidiplomasia inayolenga kujadili usimamizi wa Mlango wa Hormuz, maendeleo ya kikanda na kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Oman.
Ziara hii ya Mufti Mkuu ni miongoni mwa juhudi endelevu za uongozi wa Kiislamu nchini katika kujenga maadili, amani na mshikamano wa kijamii, sambamba na kutoa wito wa kuzingatia uadilifu na uchamungu katika kila nyanja ya maisha.