Matokeo ya utiifu ni nini?. Amirul-Mu’minin Ali bin Abi Talib (AS) katika khutba ya 156 anasema:
«إِنْ أَطَعْتُمُونِی فَإِنِّی حَامِلُکُمْ إِنْ شَاءَ اللَّهُ عَلَی سَبِیلِ الْجَنَّةِ»
Yaani: “Mkinitii mimi – mimi kama Imamu– bila shaka nitawaongoza katika njia ya Peponi"
Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limetangaza kuwa mgogoro wa kibinadamu nchini Lebanon haujaisha hata baada ya mwaka mmoja tangu vita, na zaidi ya watu 82,000 bado ni wakimbizi wa ndani. Ukiukaji unaoendelea wa Israel unazuia watu hawa kurejea makwao.