kurejea
-
Mwanadiplomasia mwandamizi wa Ufaransa: "Iran ni mfanya mazungumzo ya mapatano ambaye ni mgumu sana kiasi kwamba huwezi kumbeza"
Mwanadiplomasia wa zamani wa Ufaransa, Gérard Araud, amesema Iran ni miongoni mwa waendesha Mazungumzo ya Upatanishi wagumu zaidi duniani, wenye akili na subira ya hali ya juu.
-
Tone kutoka Nahjul-Balagha 27 | Kuheshimu Hadhi ya Imamu ni Nini?
Matokeo ya utiifu ni nini?. Amirul-Mu’minin Ali bin Abi Talib (AS) katika khutba ya 156 anasema: «إِنْ أَطَعْتُمُونِی فَإِنِّی حَامِلُکُمْ إِنْ شَاءَ اللَّهُ عَلَی سَبِیلِ الْجَنَّةِ» Yaani: “Mkinitii mimi – mimi kama Imamu– bila shaka nitawaongoza katika njia ya Peponi"
-
Kuanza kwa kuondoka kwa majeshi ya wavamizi (wa kizayuni) kutoka Ghaza
Baadhi ya maeneo ya Ukanda wa Ghaza yanashuhudia kuondoka kwa hatua kwa hatua kwa majeshi ya utawala wa Kizayuni na kuanza kwa kurejea kwa wakimbizi.
-
Madaktari Wasio na Mipaka: Takriban watu 82,000 wamelazimika kukimbia makazi yao kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Israel na Lebanon
Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limetangaza kuwa mgogoro wa kibinadamu nchini Lebanon haujaisha hata baada ya mwaka mmoja tangu vita, na zaidi ya watu 82,000 bado ni wakimbizi wa ndani. Ukiukaji unaoendelea wa Israel unazuia watu hawa kurejea makwao.