kushikamana
-
Sheikh Isa Qassim: Ujumbe wa A'shura Ni Kusimama Dhidi ya Batili na Kushikamana na Haki
Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa kiroho wa Mashia wa Bahrain, amesisitiza kuwa ujumbe wa Ashura ni kusimama dhidi ya batili na kushikamana na haki, akibainisha kuwa tukio la Imam Hussein (a.s.) linabeba maadili ya heshima, ikhlasi na uthabiti, pamoja na wito wa kuimarisha umoja na mshikamano.
-
Ghadir Khum: Kwa Nini Mtume (s.a.w.w.) Alikusanya Maelfu ya Waislamu Kumtangaza Imam Ali (a.s.)?
Kwa mujibu wa Madrasatu Ahlul-Bayt (a.s.), tukio la Ghadir Khum halikuwa la kutangaza mapenzi na heshima kwa Imam Ali (a.s.) pekee, bali lilikuwa tangazo la Mwenyezi Mungu kuhusu Wilayah na uongozi wake baada ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.), jambo linalodhihirisha umuhimu wa kuwepo kwa kiongozi wa Umma baada ya Mtume (saww).
-
Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba: Mgawanyiko na Vita vya Ndani Havina Mshindi, Amani Ndiyo Ushindi wa Taifa
Kupitia salamu zake za Krismas - Waziri Mkuu ameutanabahisha Umma wa Watanzania dhidi ya Mgawanyiko na kusisitiza umuhimu wa Amani.
-
Aida Surour:
"Kielelezo cha Ushujaa na Subira ya Mama za Mashahidi/Riwaya ya Mama wa Mashahidi Wawili wa Lebanon, Kuanzia Malezi ya Kiashura hadi Subira ya Zaynab"
Mama wa mashahidi wawili wa Lebanon, katika mahojiano na ABNA, alisimulia uzoefu wake kama mama katika njia ya muqawama na uvumilivu aliokuwa nao baada ya kuwapoteza watoto wake. Pia aliwasihi mama na wake za mashahidi waendelee kufuata njia ya wapendwa wao na kushikamana na imani.
-
Imamu wa Ijumaa wa Michigan:Dunia imejifunza kutokana na uongozi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi /Ushindi wa kuvutia wa Iran katika vita vya siku 12
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Basim Al-Shar’i amesema kuwa hatari kuu kwa Jamhuri ya Kiislamuinatokana na mambo ya ndani, na akaongeza: “Nguvu ya wananchi wa Iran imo katika umoja wao na kushikamana kwao na uongozi wenye busara wa Ayatullah Khamenei. Umoja huu ndio heshima na mtaji halisi wa Jamhuri ya Kiislamu.”
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa mnasaba wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu:
"Ushahidi (shahada) ni thawabu ya jitihada za jihadi; iwe katika utetezi wa miaka 8, au katika mapambano ya kishujaa ya siku 12"
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kwa mnasaba wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu, aliitaja shahada kuwa ni thawabu ya juhudi za jihadi, na alisisitiza juu ya umuhimu wa kujitolea huku katika kukuza mataifa. Vilevile, alieleza yakini yake juu ya ushindi wa haki na umuhimu wa kushikamana na majukumu ya kidini.