kuvuka
-
IRGC: Kuvuka Mipaka Miekundu ya Lebanon na Gaza Kutachukuliwa Kama Vita vya Moja kwa Moja Dhidi ya Iran
Shirika la Ujasusi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itachukulia hatua yoyote ya kuvuka mipaka myekundu nchini Lebanon na Gaza kuwa sawa na kutangaza vita vya moja kwa moja dhidi yake, huku likisisitiza utayari wake wa kuchukua hatua za kujihami na kufungua nyanja mpya za mapambano ikiwa hali hiyo itatokea.
-
Marafiki wa Ukweli Wako Wengi Zaidi Upande wa Pili | Kifo cha Kishahidi kwao hakileti upweke kwao Bali ni Daraja la kukutana na Msafara wa Waumini
"Katika ugeni hakuna hofu ya upweke; marafiki wapendwa wako wengi zaidi upande ule mwingine.” Kwa maana kwamba: Shahidi anapovuka kutoka dunia hii, haogopi kutengwa, kwa sababu anatambua wazi kuwa upande wa pili kuna kundi kubwa la wacha-Mungu, wakweli, watu wema, na mashahidi waliomtangulia, walio tayari kumpokea katika safu yao.
-
Ripoti ya ABNA kuhusu Mkutano wa Kitaifa wa Kuheshimika kwa Allama Hassan-Zadeh Amoli:
Elimu, ni amana ya Kimungu ili kuvuka kutoka Ufalme hadi Ufalme wa Mbinguni | Kumheshimu Mwanazuoni, ni wajibu wa kila mtu kwa ajili ya kuingia Peponi
Katika Mkutano wa Kina Kitaifa wa “Mwanazuoni wa Kimungu na Mfuasi wa Tauhidi, Bwana Allama Hassan-Zadeh Amoli” uliofanyika Qom, Ayatollah Hassan Ramadhani, profesa wa vyuo vya kidini, akielezea hadhi ya juu ya elimu kama amani ya Mungu inayohakikisha maisha ya kimwili na kiroho ya binadamu, alisisitiza kwamba elimu halisi inajumuisha maarifa yote ya kuongoza kutoka fiqhi hadi falsafa, na kuheshimu wanazuoni wa kweli ni njia muhimu ya kufikia ukamilifu, kuinua maisha ya kiroho na kuingia Malakut (ufalme wa kiroho).