kweli

  • Ujumbe wa Araghchi kwa Rais wa Lebanon: Iokoe Lebanon Kutoka kwa Adui Wake wa Kweli

    Ujumbe wa Araghchi kwa Rais wa Lebanon: Iokoe Lebanon Kutoka kwa Adui Wake wa Kweli

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amemtaka Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, kuchukua hatua za kuiokoa nchi hiyo kutoka kwa “adui wake wa kweli”, akisisitiza kuwa Iran siyo inayokalia ardhi ya Lebanon, kuwafukuza wananchi wake wala kuishambulia kila siku. Araghchi alieleza kuwa kama Lebanon ingekuwa chombo cha mazungumzo kwa Iran, makubaliano yangekuwa yamefikiwa muda mrefu uliopita.

  • Ayatullah Ramezani: Yesu (a.s) ndiye Mwokozi wa Binadamu / Amani ya kweli haiwezekani bila haki

    Ayatullah Ramezani: Yesu (a.s) ndiye Mwokozi wa Binadamu / Amani ya kweli haiwezekani bila haki

    Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlulbayt (a.s) akizungumzia hali ya sasa ya dunia: Ameyasema kwamba jamii ya binadamu leo inakabiliwa na umasikini, ubaguzi, ukosefu wa haki, ujinga, upuuzi na ukoloni wa kihisia. Masuala haya yamezua wasiwasi mkubwa. Aidha, tabia ya ukatili imeibuka katika baadhi ya jamii, na matukio ya uvunjaji wa haki, mauaji na vurugu yameenea.

  • Riziki na kipato kwa hakika kiko mikononi mwa nani?

    Riziki na kipato kwa hakika kiko mikononi mwa nani?

    Kwa mtazamo wa Tauhidi, kila kitu kiko mikononi mwa Mwenyezi Mungu; lakini katika maisha ya kila siku, inaonekana kana kwamba ni wanadamu wanaoamua riziki za wao kwa wao: mfanyakazi humtegemea mwajiri, mtumishi wa umma hulitegemea dola, na mtoto huwategemea wazazi. Basi ukweli wa jambo hili ni upi? Mtazamo sahihi na wa kina kuhusu suala hili ni upi?