maonyesho
-
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum awaalima watu wote katika Maonyesho ya Qur'an | Dar-es-salaam na Tanga
Qur'an Tukufu ni: Shifa (ponyo) kwa magonjwa ya kiroho na ya moyo kama vile wasiwasi, huzuni, mashaka, ujinga, na upotevu. Na ni Mwongozo wa maisha kwa binadamu wote—kwa mambo ya kidini na ya kila siku.
-
Katika Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Vitabu Tehran, tafsiri ya wasifu wa Shahidi Jenerali Qasem Soleimani itazinduliwa rasmi
Katika Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Vitabu mjini Tehran, vitabu vitatu vilivyotafsiriwa kwa lugha ya Kazakhi vitazinduliwa rasmi, na miongoni mwao ni kitabu kiitwacho "Rafiki Yetu Mwenye Bahati", ambacho ni wasifu wa Shahidi Jenerali Qasem Soleimani.
-
Bilal Muslim Mission - Kanda ya Pangani - Hafla ya Mazazi ya Imam Ridha (as) na Maonyesho ya Wanafunzi wa Madrasa
Hafla hii imehudhuriwa na Madrasat kutoka Bilal Muslim – Kanda ya Pangani pamoja na baadhi ya Madrasa kutoka kwa ndugu zetu wa Kisuni. Hili ni jambo la faraja kubwa, linaloashiria mshikamano wa kijamii na wa kidini katika maeneo yetu.
-
Imam Khamenei afanya ziara muhimu ya kuonesha mafanikio ya sekta binafsi mjini Tehran
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei siku ya Jumanne amefanya ziara katika hafla iliyofanyika ili kuonesha mafanikio ya sekta binafsi.