Katika maelezo yaliyojaa mazingatio, khatibu alibainisha kuwa Moto wa Jahannamu una mawe yanayochoma hadi kufikia ubongo wa waliomo ndani yake, na kwamba kila aina ya moto ni adhabu maalumu kwa aina fulani ya dhambi, kama zilivyobainishwa katika Hadithi za Mtume.
Mwanaharakati wa haki za binadamu wa Bahrain amesema: A'"shura inatolewa kila mwaka katika vyombo vya habari vya Bahrain kama ishara ya uhuru na uvumilivu wa kidini, lakini kivitendo wafuasi wa Kishia wanakabiliwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria na vikwazo vikali, kuanzia kukamatwa na kuandikiwa wito hadi kuharibiwa maeneo ya kidini na mashinikizo ya kubadili mavazi ya kidini.