mavazi
-
Burgos, Spain Yapiga Marufuku Kuvaa Burqa na Niqab Katika Maeneo ya Umma
Halmashauri ya jiji la Burgos nchini Spain imepitisha marufuku ya kuvaa burqa na niqab katika maeneo ya umma. Hatua hii inalenga kuimarisha usalama na kuhifadhi utambulisho wa maeneo ya umma ya manispaa. Uamuzi huu umeibua mjadala mkubwa wa kisiasa na kijamii, kwani baadhi ya wapinzani wanaona kuwa ni hatua isiyo ya haki, yenye chuki dhidi ya Uislamu na ubaguzi wa kijinsia. Hali hiyo inaonyesha jinsi vikwazo vya mavazi ya kidini vinaweza kuathiri uhuru wa dini na haki za wanawake, na kuleta mvutano kati ya makundi ya kitamaduni na kidini.
-
Katika Ugeni wetu kwa Mwenyezi Mungu, tuvae “Vazi Halisi na Bora Zaidi” la Ucha Mungu!
Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ambao ni karamu ya Mwenyezi Mungu, “brand” ya kweli si mavazi ya gharama bali ni taqwa, ikhlasi, subira na maadili mema. Hivi ndivyo vinavyomfanya mja awe mrembo mbele ya Mwenyezi Mungu na kufuzu katika meza ya rehema na maghfira.
-
Malawi | Sala ya Ijumaa yajadili kuhusu Moto wa Jahannam na Sifa Zake + Picha
Katika maelezo yaliyojaa mazingatio, khatibu alibainisha kuwa Moto wa Jahannamu una mawe yanayochoma hadi kufikia ubongo wa waliomo ndani yake, na kwamba kila aina ya moto ni adhabu maalumu kwa aina fulani ya dhambi, kama zilivyobainishwa katika Hadithi za Mtume.
-
A'shura ni ishara ya uvumilivu katika vyombo vya habari vya Bahrain, lakini kwa kweli, ni eneo la ukandamizaji dhidi ya Mashia
Mwanaharakati wa haki za binadamu wa Bahrain amesema: A'"shura inatolewa kila mwaka katika vyombo vya habari vya Bahrain kama ishara ya uhuru na uvumilivu wa kidini, lakini kivitendo wafuasi wa Kishia wanakabiliwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria na vikwazo vikali, kuanzia kukamatwa na kuandikiwa wito hadi kuharibiwa maeneo ya kidini na mashinikizo ya kubadili mavazi ya kidini.