Filamu Palestine 36 inaonyesha kwa ustadi mkubwa kwamba uhalifu wa utawala wa Kizayuni unatokana moja kwa moja na ukatili, uvamizi na unyama wa Dola ya Uingereza katika kipindi cha ukoloni.
Ayatullah Nuri Hamedani amesisitiza kuwa: Kwa uwazi tunatambua kwamba Amr bil Ma’ruf na Nahy anil Munkar ni kati ya wajibu muhimu zaidi wa Kiislamu — au ndio wajibu muhimu zaidi — na hilo peke yake linatosha kuonyesha hadhi ya juu ya wajibu huu, hivyo haipaswi kuuchukulia kuwa jambo dogo.
Kwa ziara rasmi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan Kusini nchini Israel, uhusiano wa muda mrefu lakini wa kimya wa mataifa haya mawili umeingia katika hatua mpya.