mkusanyiko
-
Wafuasi wa Iran Wakusanyika Mbele ya Bunge la Norway Jijini Oslo - Norway
Kundi la waungaji mkono wa Iran limefanya mkusanyiko mbele ya Bunge la Norway katika mji wa Oslo, likionesha mshikamano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza misimamo yake kuhusu masuala ya kimataifa yanayoihusu nchi hiyo.
-
Mkusanyiko wa watu wa Venezuela katika kuunga mkono malengo ya Palestina na kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza
Katika jimbo la Vargas, Venezuela, vikundi na mashirika ya kijamii, kwa msaada wa "Jukwaa la Mshikamano na Malengo ya Palestina", siku ya Jumamosi tarehe 13 Septemba 2025, walikusanyika pamoja ili: Kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza, Kuonesha upinzani wao dhidi ya sera na vitisho vya serikali ya Marekani dhidi ya nchi yao, Na kusisitiza juu ya haki ya Venezuela ya kujitawala kama taifa.
-
Utafiti unaonyesha kuwa maeneo ya nyuklia ya Iran yaliyoshambuliwa na Marekani bado yanafanya kazi kama kawaida - Iran iliwahadaa na kutoa kila kitu
"centrifuges" (au kwa kiswahili: Visukuma ambavyo hutumika katika teknolojia ya nyuklia) zote ziko salama, na ambazo hutumiwa kimsingi kwa urutubishaji wa uranium, mchakato ambao hutenganisha isotopu za uranium ili kuongeza mkusanyiko wa U-235, ambayo huhitajika kwa vinu vya nyuklia.