Ofisi ya Ayatullah al-Udhma Sistani mjini Qum imeandaa hafla ya kumuenzi marehemu Ayatullah al-Udhma Muhammad Ishaq al-Fayyadh, itakayofanyika baada ya Swala ya Magharibi na Isha usiku wa leo.
Kundi la waungaji mkono wa Iran limefanya mkusanyiko mbele ya Bunge la Norway katika mji wa Oslo, likionesha mshikamano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza misimamo yake kuhusu masuala ya kimataifa yanayoihusu nchi hiyo.
Katika jimbo la Vargas, Venezuela, vikundi na mashirika ya kijamii, kwa msaada wa "Jukwaa la Mshikamano na Malengo ya Palestina", siku ya Jumamosi tarehe 13 Septemba 2025, walikusanyika pamoja ili: Kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza, Kuonesha upinzani wao dhidi ya sera na vitisho vya serikali ya Marekani dhidi ya nchi yao, Na kusisitiza juu ya haki ya Venezuela ya kujitawala kama taifa.