Maafisa wa jeshi nchini Uingereza wamekiri kuhusika katika mauaji ya watoto nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa: mauaji hayo ya nje ya mfumo wa sheria yalitekelezwa, na huenda haya ni sehemu ndogo tu ya kile kilichotokea!
Dkt. Alwan alisema: Serikali ya Lebanon, kutokana na mipaka ya diplomasia na kutokuwepo kwa uimarishaji wa kweli wa jeshi (kwa sababu ya vizuizi vya Marekani), kimsingi haiwezi kuilinda nchi kijeshi.
Iran inasisitiza kuwa vita hii itaendelea hadi utawala wa Kizayuni uangamizwe kabisa, na uingiliaji wowote wa nje utazidisha tu uhamasishaji na ukali wa mapigano ya Iran.