muda mrefu
-
Jibu la Kukataa la Wataalamu wa Kijeshi wa Marekani kwa Ombi Lisilo la Kawaida la Trump
Trump aliwaomba makamanda wa Marekani watengeneze shambulizi la haraka lisilogeuza vita kuwa vya muda mrefu. Wataalamu wa kijeshi wakamjibu: hakuna chaguo kama hilo linalowezekana. Wakaeleza kuwa shambulizi kubwa haliwezi kuepuka kugeuka kuwa vita ya kuchosha na ya muda mrefu.
-
Ufichuzi Mpya wa Siri Huko Uingereza: Vikosi Maalum Vilifyatua Risasi na Kuua Watoto Waafghani Wakiwa Wamelala Kitandani
Maafisa wa jeshi nchini Uingereza wamekiri kuhusika katika mauaji ya watoto nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa: mauaji hayo ya nje ya mfumo wa sheria yalitekelezwa, na huenda haya ni sehemu ndogo tu ya kile kilichotokea!
-
Mwenyekiti wa Chama cha Al-Wafa nchini Lebanon katika mahojiano na ABNA:
Jamii ya kimataifa, haki za binadamu na dhana kama hizi zimelemazwa / “Lugha ya nguvu” ndiyo lugha pekee ambayo Israeli huielewa
Dkt. Alwan alisema: Serikali ya Lebanon, kutokana na mipaka ya diplomasia na kutokuwepo kwa uimarishaji wa kweli wa jeshi (kwa sababu ya vizuizi vya Marekani), kimsingi haiwezi kuilinda nchi kijeshi.
-
Ufafanuzi kuhusu Jibu la Iran kwa Marekani litatekelezwa kwa namna ipi? | Mpango mzima wa Iran ni kuichakaza na kuimaliza Israel - Haina pa kutokea
Iran inasisitiza kuwa vita hii itaendelea hadi utawala wa Kizayuni uangamizwe kabisa, na uingiliaji wowote wa nje utazidisha tu uhamasishaji na ukali wa mapigano ya Iran.