Bismillah Taban, mtaalamu wa masuala ya usalama kutoka Afghanistan, anasema kuwa Taliban kwa kutumia akaunti bandia na zilizoandaliwa kwa uratibu katika maeneo mbalimbali ya saa duniani, wameanzisha vita vya kimfumo vya kuwachafua wapinzani wao, hasa wakosoaji wa Kishia na vyombo vya habari huru; mbinu ambayo kwa mtazamo wa wachambuzi ni mwendelezo wa sera ya ukandamizaji wa Taliban katika uwanja wa maoni ya umma.
Lengo la si tu kufanya tamasha la filamu, bali kujenga fikra na mwelekeo wa kimataifa wa sanaa ya muqawama. Tuna ndoto ya siku ambayo tamasha hili halitafanyika tena Tehran, bali katika mji wa Quds Tukufu, pamoja na watu wa Palestina walio huru. Tamasha hili limepata pumzi yake kutoka Gaza, Lebanon, Syria, Yemen na kila uwanja wa muqawama – na litaendelea hadi kufikiwa kwa ukombozi kamili wa Quds.”