nyanja
-
Msanii wa Iran: Shahidi Sayyid Ali Khamenei alitupanda ndani yetu mapenzi ya sanaa na ukweli
Msanii wa Iran Hussein Esmati amesema kuwa kufariki shahidi kwa Sayyid Ali Khamenei kumewaathiri kwa kina wasanii wa Iran, jambo lililoonekana katika kazi nyingi za kisanii zinazoakisi maombolezo, mapenzi na maadili aliyoyasimamia.
-
Ghalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni lazima
Rais wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa kimkakati, kisiasa na kibunge kati ya Iran na China, akibainisha kuwa mabadiliko ya hivi karibuni ya kikanda na kimataifa yameufanya ushirikiano wa karibu kati ya Tehran na Beijing kuwa wa lazima zaidi kuliko wakati wowote.
-
Rais Pezeshkian: Umoja wa Kitaifa Ndiyo Mtaji Mkubwa Zaidi wa Iran Katika Kipindi Hiki
Rais Masoud Pezeshkian amesema mshikamano wa kitaifa ndio msingi wa maendeleo ya Iran, akisisitiza matumizi ya uwezo wa wataalamu na kujibu mahitaji ya wananchi ili kutatua changamoto zinazoikabili nchi.
-
Mtaalamu wa masuala ya Lebanon katika Mahojiano na ABNA:
Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi / Zaidi ya Makamanda 400 wa Hizbullah wameuawa na Israel
Dkt. Ajarloo, mtaalamu wa masuala ya Lebanon, alisema: Inaonekana kuwa uwezo wa Hizbullah, licha ya kupata madhara makubwa, katika baadhi ya nyanja unaendelea kuimarika. Kwa sababu hiyo, hatua na tathmini za Israel pamoja na uwezekano wa kutokea kwa vita vinaashiria kwamba Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi.
-
Rais katika ujumbe wake kwa sherehe ya kumaliza mashindano ya 17 ya Qur’ani ya Medhametan:
''Jukumu la vituo vya misikiti katika kulea na kuandaa kizazi kipya cha vijana watiifu na wa Qur’ani ni la kuthaminiwa sana.”
“Dkt. Pezeshkian katika ujumbe wake kwa sherehe ya kumaliza mashindano ya 17 ya Qur’ani ‘Medhametan (ni jina la tukio / shindano)’, huku akitoa shukrani kwa waandaji wa mashindano haya, alisisitiza: Jukumu la vituo vya misikiti katika kulea na kuandaa kizazi kipya cha vijana watiifu katika nyanja hii ya ujenzi wa kiroho ni la kuthaminiwa sana.”
-
Qalibaf: Pakistan ni rafiki wa kweli katika nyakati zote
Spika wa Bunge la Iran ameandika kwenye ukurasa wake binafsi katika mitandao ya kijamii kuwa:“Kwa mwaliko maalumu wa Mheshimiwa Spika wa Bunge la Kitaifa la Pakistan, nimeelekea nchini humo. Kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya mataifa haya mawili ndugu - hususan katika nyanja za ushirikiano wa kiuchumi na kiusalama - kutakuwa ndiyo mhimili mkuu wa ziara hii.”