Katika dunia ya sasa, ni vigumu kujua ukweli kamili kwa urahisi, hivyo ni muhimu kuwa na vyombo vya habari vya kuaminika vinavyotumia vyanzo vya haki na kuthibitisha taarifa kabla ya kuzisambaza. Hivyo ndio Vyombo vya kufuatilia na kusikiliza. Na sio kufuata kila chombo cha Habari bila kujua kuwa hiki chombo kinatumiwa na waovu wa uistikbari wa Dunia au la.
Uongo wa Trump ni Taktiki inayojulikana kama: "uongo ukirudiwa mara nyingi huanza kuaminika," ambayo inakusudia kuathiri mtazamo wa umma na hata maamuzi ya kimataifa.