Maafisa wa jeshi nchini Uingereza wamekiri kuhusika katika mauaji ya watoto nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa: mauaji hayo ya nje ya mfumo wa sheria yalitekelezwa, na huenda haya ni sehemu ndogo tu ya kile kilichotokea!
Baraza la Uratibu wa Tabligh za Kiislamu, limelaani ukandamizaji wa Maandamano ya Siku ya Quds Duniani nchini Nigeria, na limetangaza kuwa: Jinai hizo za kipofu zitazidisha azma ya Mataifa ya Kiislamu kukabiliana ipasavyo na mfumo wa ukoloni na uistikbari.