Kwa upande wake, Balozi Lentz alieleza kuwa ushirikiano wa Tanzania na Marekani umejengwa katika misingi ya ustawi wa pamoja, si utegemezi wa misaada, na kupongeza juhudi za Tanzania chini ya falsafa ya 4R na Dira ya Maendeleo ya 2050. Takribani makampuni 400 ya Marekani yanafanya kazi nchini, jambo linaloonesha kuimarika kwa mazingira ya uwekezaji.
Katika kikao hicho, mada kuu iliyojadiliwa ilikuwa:
Athari na maana ya Amani ya Imam Hasan (a.s) – wanafunzi walitathmini hali ya kisiasa ya zama zake na hekima iliyopelekea kufanya mapatano ya amani na Mu’awiya, pamoja na athari zake kwa kulinda dini ya Uislamu.