suluhu
-
Mazungumzo ya Marekani na Iran Yamalizika kwa Tabasamu Bila Suluhu: Iran Yakataa Kusitisha Urutubishaji wa Uranium
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Iran yamekamilika bila mafanikio ya msingi, huku Iran ikikataa kusitisha urutubishaji wa uranium au kuhamisha vifaa vyake nje ya nchi. Tehran imesisitiza kuwa utajirishaji ndani ya Iran ni mstari mwekundu, wakati Washington ikisisitiza haitakubali Iran kubaki na uwezo wowote wa silaha za nyuklia. Kwa hali hii, duru ijayo ya mazungumzo itaamua hatima ya diplomasia kati ya pande hizo mbili.
-
Rais Samia na Marekani Wathibitisha Ushirikiano wa Kimkakati kwenye Miradi Mikubwa ya Uwekezaji
Kwa upande wake, Balozi Lentz alieleza kuwa ushirikiano wa Tanzania na Marekani umejengwa katika misingi ya ustawi wa pamoja, si utegemezi wa misaada, na kupongeza juhudi za Tanzania chini ya falsafa ya 4R na Dira ya Maendeleo ya 2050. Takribani makampuni 400 ya Marekani yanafanya kazi nchini, jambo linaloonesha kuimarika kwa mazingira ya uwekezaji.
-
Kikao cha Kielimu cha wanafunzi wa Madrasa ya Mabinti chaadhimisha kumbukumbu ya shahada ya Imam Hasan al-Mujtaba (a.s)
Katika kikao hicho, mada kuu iliyojadiliwa ilikuwa: Athari na maana ya Amani ya Imam Hasan (a.s) – wanafunzi walitathmini hali ya kisiasa ya zama zake na hekima iliyopelekea kufanya mapatano ya amani na Mu’awiya, pamoja na athari zake kwa kulinda dini ya Uislamu.
-
Katuni ikionyesha "Shambulizi dhidi ya Iran: Jinsi Lilivyoanza na Jinsi Lilivyomalizika!"
Mushikamano na Umoja wa Wananchi wa Taifa la Iran ndio Siri ya Mafanikio na Ushindi Mkubwa dhidi ya Adui wa Iran na Ummah wa Kiislamu kwa ujumla.