tawala za Kiarabu
-
Walioleta Kambi za Marekani Kuzunguka Iran Leo Wanalia: Kwa Nini Iran Inatushambulia?
Kwa miaka mingi, Iran iliwaonya majirani zake wa Kiarabu kuhusu hatari ya kuruhusu Marekani kujenga kambi za kijeshi katika ardhi zao, ikisema uwepo wa majeshi ya kigeni ungeweza kuzifanya nchi hizo kuwa sehemu ya vita dhidi ya Iran. Leo, baada ya kuanza kwa mapambano, kambi hizo zimegeuka kuwa maeneo ya mashambulizi, huku watawala wa Kiarabu wakijikuta wakikabiliwa na matokeo ya maamuzi waliyoyafanya hapo awali.
-
Tamko la Mkurugenzi Mkuu wa Hawza za Kiislamu Kufuatia Mauaji ya Kinyama Dhidi ya Watu Wanyonge wa Sudan
Jumuiya za Kimataifa na Mashirika ya Haki za Binadamu Waitikie Kilio cha Watu Wanaodhulumiwa Sudan
-
Mwanachama wa zamani wa Baraza la Kitaifa la Palestina azungumza na ABNA:
Kuwanyang’anya silaha wamiliki halali wa ardhi ya Palestina ni kuwapendelea kabisa wavamizi / Umuhimu wa Kuamka kwa dhamiri za tawala za Kiarabu
Dkt. Rabhiy Halloum amesisitiza kuwa uamuzi wa kweli wa kisiasa na kuamka kwa dhamiri za nchi za Kiarabu ndiko kutakakoamua mustakabali wa ukombozi wa Palestina na kulinda amani ya kudumu katika eneo lote la Mashariki ya Kati.
-
Sheikh Naeem Qassem:
Uvamizi wa Wazayuni Dhidi ya Qatar Ni Sehemu ya Mradi wa "Israeli Kubwa"/ Msimamo wa Iran wa Kuunga Mkono Palestina Ni Miongoni mwa Nguzo Kuu za Umoja
Akiwahutubia viongozi wa nchi za Kiarabu, Sheikh Qassem alisema: "Pendekezo langu la pili ni hili: Msisimame pamoja na Israel, msiisaliti Harakati ya Mapambano kwa kujaribu kuipokonya silaha au kukubali masharti ya utawala wa Kizayuni."