Dkt. Rabhiy Halloum amesisitiza kuwa uamuzi wa kweli wa kisiasa na kuamka kwa dhamiri za nchi za Kiarabu ndiko kutakakoamua mustakabali wa ukombozi wa Palestina na kulinda amani ya kudumu katika eneo lote la Mashariki ya Kati.
Akiwahutubia viongozi wa nchi za Kiarabu, Sheikh Qassem alisema:
"Pendekezo langu la pili ni hili: Msisimame pamoja na Israel, msiisaliti Harakati ya Mapambano kwa kujaribu kuipokonya silaha au kukubali masharti ya utawala wa Kizayuni."