Mufti Mkuu wa Australia na New Zealand amelilaani vikali shambulio la silaha lililotokea katika Ufukwe wa Bondi, Sydney, na kulitaja kuwa ni kitendo cha kigaidi.
Katika taarifa ya nchi kumi na moja wanachama wa Bodi ya Magavana, inachukulia kuwa "shambulio lolote la silaha au tishio dhidi ya vituo vya nyuklia vinavyotolewa kwa madhumuni ya amani ni ukiukaji wa kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa, sheria za kimataifa na Mkataba wa Shirika la IAEA."