uchokozi
-
Khatibzadeh: Marekani lazima ilipe fidia kwa Iran
Hatukuwa na makubaliano yoyote ya maandishi na utawala wa Kizayuni yaliyokuwa na ibara yoyote, na kilichotokea ni kusitishwa kwa uchokozi wa Wazayuni.
-
Katibu Mkuu wa Hezbollah ya Lebanon: Iran kwa hakika itashinda
Iran ni taifa lenye mshikamano, na wanaweka kando tofauti zao ili kusimama kwa umoja na mshikamano katika kukabiliana na uchokozi wa Marekani na Israel.
-
Sheikh al-Azhar, Ahmad al-Tayeb, amelaani vikali mashambulizi ya uchokozi ya Israel dhidi ya Iran
Kimya cha jumuiya ya kimataifa kuhusu uonevu na uchokozi huu na kukosekana kauli za kuuzuwia, kinachukuliwa kuwa ni ushiriki katika jinai hizo, na matokeo yake pekee yatakuwa ni tishio kwa usalama wa dunia nzima. Vita havizai amani."
-
Venezuela: Dunia imefurahishwa na pigo Kali la Iran dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Waziri Mkuu wa Venezuela l: "Venezuela inasimama bega kwa bega na Iran katika Haki yake ya kujihami na kuilinda amani yake dhidi ya majaribio yoyote ya jinai za kizayuni".