uchokozi
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani wa Austria: Iran Sasa ni Nguvu Kubwa ya Kimataifa, Washington Imejaa Hofu
Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Austria amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejidhihirisha kama nguvu kubwa ya kimataifa baada ya kuonyesha uimara mkubwa dhidi ya kile alichokiita uchokozi wa Marekani, akisisitiza kuwa hali hiyo imeibua hofu mjini Washington na kubadili mwelekeo wa Ulaya kutoka ushirikiano wa kibiashara kwenda kwenye maandalizi ya vita.
-
IRGC Yatangaza Mashambulizi Makali zaidi ya Makombora na Ndege zisizo na Rubani Kujibu Uchokozi wa Marekani
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuanzisha operesheni za makombora na ndege zisizo na rubani kujibu kile lilichokiita uchokozi wa Marekani, huku likionya kuwa litachukua hatua kali zaidi dhidi ya meli zitakazokiuka maelekezo yake.
-
Sheikh Naïm Qassem: “Tumezaliwa huru kupinga dhulma, ukoloni na utegemezi; upinzani dhidi ya adui ni haki halali”
Sheikh Naim Qassem amesema kuwa wao wamezaliwa huru na wamechagua kwa makusudi kupinga dhulma, ukoloni na utegemezi wa kigeni, akisisitiza kuwa kujibu adui kwa silaha ni haki ya kujilinda, na kwamba kushikamana na kaulimbiu ya “Hussein ndiyo njia yetu” ni msingi wa kuendelea kwao katika mapambano na ushindi dhidi ya ukandamizaji.
-
Mohsen Rezaei: Mashambulizi dhidi ya Iran yamejibiwa, hatua mpya zitakabiliwa na majibu makali zaidi
Mohsen Rezaei amesema kuwa wale waliofanya mashambulizi dhidi ya Iran tayari wamepata majibu yao, akionya kuwa hatua yoyote mpya ya uchokozi itajibiwa kwa nguvu zaidi na gharama kubwa kwa wavamizi.
-
Doha kuandaa mkutano wa dharura wa Kiarabu-Kiislami baada ya shambulio la Israel
Ijumaa, Qatar ilikaribisha hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulaani shambulio la Israel dhidi ya ujumbe wa Hamas mjini Doha, ikilitaja shambulio hilo kama “la usaliti” na ukiukaji wa kanuni za kimataifa.