Hujjatul-Islam wal-Muslimin Basim Al-Shar’i amesema kuwa hatari kuu kwa Jamhuri ya Kiislamuinatokana na mambo ya ndani, na akaongeza: “Nguvu ya wananchi wa Iran imo katika umoja wao na kushikamana kwao na uongozi wenye busara wa Ayatullah Khamenei. Umoja huu ndio heshima na mtaji halisi wa Jamhuri ya Kiislamu.”
Waandaji wa Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama wametoa wito kwa Serikali za Dunia kusaidia harakati za meli za kikosi hiki kuelekea Ukanda wa Gaza.