uimara
-
Sala ya Jamaa na Sala ya Usiku: Ni Ibada mbili zinazokamilishana na ni Njia Mbili za Kuimarisha Uimara wa Kiroho
Sala ya Jamaa na Sala ya Usiku ni ibada zinazokamilishana; anayeshikamana na moja huimarika katika nyingine, na zote mbili ni njia muhimu ya kujenga taqwa na ukaribu kwa Mwenyezi Mungu.
-
Mkutano wa Kwanza wa Mielekeo ya Kiislamu Umefanyika nchini Ureno kwa Lengo la Kukuza Mazungumzo ya Kidiini +Picha
Kundi la wasomi wa Kiislamu na Kikristo limekutana katika mji mkuu wa Ureno, Lisbon, kujadili nafasi ya Ushi’a, mazungumzo ya dini tofauti, pamoja na fursa za pamoja za dini katika kufanikisha amani ya dunia.
-
Imamu wa Ijumaa wa Michigan:Dunia imejifunza kutokana na uongozi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi /Ushindi wa kuvutia wa Iran katika vita vya siku 12
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Basim Al-Shar’i amesema kuwa hatari kuu kwa Jamhuri ya Kiislamuinatokana na mambo ya ndani, na akaongeza: “Nguvu ya wananchi wa Iran imo katika umoja wao na kushikamana kwao na uongozi wenye busara wa Ayatullah Khamenei. Umoja huu ndio heshima na mtaji halisi wa Jamhuri ya Kiislamu.”
-
Ombi la Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama kwa Serikali za Dunia: “Tuunge Mkono”
Waandaji wa Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama wametoa wito kwa Serikali za Dunia kusaidia harakati za meli za kikosi hiki kuelekea Ukanda wa Gaza.