Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kubadilika kwa kauli za Donald Trump kuelekea lugha ya amani kunatokana na kutambua hali halisi ya uwanja na uwezo wa Iran wa kuzuia vitisho vya kijeshi katika eneo hilo.
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.