Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Urusi, Dmitry Medvedev, amesema kuwa Muungano wa Ulaya umeingia katika vita dhidi ya Urusi kwa uamuzi wake wenyewe, akionya kuwa kipindi cha "usingizi wa amani" kwa wananchi wa Ulaya kimefikia mwisho.
Rais Ibrahim Traoré, akizungumza katika mahojiano ya televisheni ya kitaifa, alithibitisha tukio hilo na kusema kwa maneno makali: “Kama kuna daktari, mwalimu, au mfanyabiashara anayehisi anajua zaidi kuhusu vita kuliko wanajeshi wetu, basi ni bora naye achangie kwa vitendo - aende vitani.”