wakfu
-
Walowezi wa Israel Wateketeza Msikiti katika Ukingo wa Magharibi
Wizara ya Awqaf (Wakfu) na Mambo ya Kidini imesema kuwa walowezi walivamia Msikiti wa Hajjah Hamidah uliopo Salfit, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi, na kulitaja tukio hilo kuwa “jinai ya kinyama na shambulio la wazi dhidi ya hisia za Waislamu.”
-
Haj Mirza Baqer; Mweka Waqfu wa Maukufu Maarufu ya Fatimiyya huko Qom
Miongoni mwa maukufu (mambo yaliyowekwa wakfu) machache ya Qom yaliyosajiliwa kwa nia ya kuadhimisha maombolezo ya Bibi Fatima Zahra (a.s) na ambayo bado yanaendelea kutumika hadi leo, ni maukufu (yaliyowekwa na Haj Mirza Baqer katika miaka ya ishirini ya karne iliyopita.
-
Kulaaniwa Vikali Shambulio Dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa India katika Mkutano wa Maandamano Mjini Lucknow
Hujjatul-Islam Muhammad Miyan Abidi Qummi: "Lengo kuu la mashambulio kama haya,” alisema, “ni kudhoofisha harakati ya ulinzi wa wakfu na kunyamazisha sauti ya wanaotetea haki.”
-
Shambulio dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Shia wa India
Shambulio hili lilitokea wakati wa kiongozi akiongoza maandamano ya kupinga ujenzi haramu kwenye ardhi ya wakfu ya Karbala Abbas-Bagh, na katika uwepo wa maafisa wa Polisi.
-
Waqfu wa Kiongozi wa Mapinduzi 5 / Mtoaji mkubwa wa Waqfu wa Nakala za Maandishi ya Kale katika historia ya Haram Tukufu ya Razavi
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, pamoja na Waqfu mbalimbali alizotoa kwa Haram Tukufu ya Razavi katika zaidi ya miaka 40 iliyopita, ametoa waqfu wa vitabu vingi vya kale kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya Haram Tukufu ya Razavi.