wazi

  • Trump Akiri Kushiriki katika Jinai

    Trump Akiri Kushiriki katika Jinai

    Kauli ya Donald Trump, rais wa Marekani, iliyokiri wazi kiwango cha msaada mkubwa wa Marekani kwa Israel, imezua mjadala mpana katika uwanja wa siasa za kimataifa. Wachambuzi wanasema kauli hiyo inaashiria ushiriki wa moja kwa moja wa Marekani katika sera na hatua zinazohusishwa na ukaliaji wa ardhi, uvamizi na ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya wananchi wa Palestina, jambo lililoibua maswali mazito kuhusu uwajibikaji wa kimaadili na kisheria wa Washington mbele ya jumuiya ya kimataifa.

  • Sheikh Zakzaky aonya kuhusu kampeni dhidi ya nchi za Kiislamu, atoa wito wa mshikamano

    Sheikh Zakzaky aonya kuhusu kampeni dhidi ya nchi za Kiislamu, atoa wito wa mshikamano

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sayyid Ibraheem Zakzaky, alitoa hotuba ya kufunga Wiki ya Umoja mjini Abuja siku ya Jumatano.