Waandamanaji walibeba mabango na kuziba baadhi ya barabara wakitaka hatua za haraka za kimataifa kuchukuliwa. Baadaye maandamano hayo yalizingira mgahawa wa OWO, ambapo baadhi ya wabunge wa Uingereza waliripotiwa kuwa na kikao, kabla ya kumalizika kwa amani kufuatia kuwasili kwa Polisi.
Mnamo mwaka 2021, al-Burhan na msaidizi wake Dagalo walifanya mapinduzi ya kijeshi na kumuondoa madarakani Rais Omar al-Bashir. Miaka miwili baadaye, wawili hao wakageukiana wenyewe kwa wenyewe