zamani
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani wa Austria: Iran Sasa ni Nguvu Kubwa ya Kimataifa, Washington Imejaa Hofu
Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Austria amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejidhihirisha kama nguvu kubwa ya kimataifa baada ya kuonyesha uimara mkubwa dhidi ya kile alichokiita uchokozi wa Marekani, akisisitiza kuwa hali hiyo imeibua hofu mjini Washington na kubadili mwelekeo wa Ulaya kutoka ushirikiano wa kibiashara kwenda kwenye maandalizi ya vita.
-
Jenerali Mohsen Rezaei: Jibu kwa ukiukaji wowote wa hati ya maelewano litakuwa la haraka na lenye nguvu
Kamanda wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Jenerali Mohsen Rezaei, amesema kuwa Iran itajibu kwa haraka na kwa nguvu ukiukaji wowote wa hati ya maelewano, akiishutumu Marekani kwa kukiuka baadhi ya vipengele vya makubaliano hayo kupitia kuunga mkono makundi washirika wake katika eneo na kuendelea kuchochea mvutano katika Mlango wa Hormuz.
-
Mahakama ya Damascus Yaanza Kesi dhidi ya Aliyekuwa Mufti wa Syria, Ahmad Hassoun, kwa Tuhuma za Kuhamasisha Uhalifu wa Kivita
Mahakama ya Jinai ya Nne mjini Damascus imeanza kusikiliza kesi dhidi ya aliyekuwa Mufti wa Jamhuri ya Syria, Ahmad Hassoun, anayekabiliwa na tuhuma za kuchochea mauaji, kuhalalisha uhalifu wa kivita na kutoa uungwaji mkono wa kidini na kisiasa kwa utawala wa zamani wa Bashar al-Asad na washirika wake.
-
Obama Akiri: Vita na Iran Vimeigharimu Marekani Mabilioni na Kuifanya Iwe Katika Hali Mbaya Zaidi
Obama akikiri kuwa vita na Iran viligharimu Marekani mabilioni ya dola na maisha ya watu wengi bila mafanikio, huku hali ya nchi ikizidi kuwa mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa kabla ya vita.
-
IRGC: Marekani Itajutia Ikiamua Kurudia Makosa Yake ya Zamani
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Hussein Mohabbi, amesema Marekani itajutia endapo itajaribu kurudia kile alichokiita majaribio yake yaliyoshindwa dhidi ya Iran.
-
Mchambuzi wa Zamani wa CIA: Marekani na Israel Zinajaribu Kuhujumu Mazungumzo na Iran
Mchambuzi wa zamani wa CIA Larry Johnson amesema mashambulizi dhidi ya Iran wakati mazungumzo yakiendelea yanaashiria juhudi za kuhujumu mchakato wa kidiplomasia, akionya kuwa huenda eneo hilo likashuhudia duru mpya ya mvutano katika siku zijazo.
-
Mohsen Rezaei: Mashambulizi dhidi ya Iran yamejibiwa, hatua mpya zitakabiliwa na majibu makali zaidi
Mohsen Rezaei amesema kuwa wale waliofanya mashambulizi dhidi ya Iran tayari wamepata majibu yao, akionya kuwa hatua yoyote mpya ya uchokozi itajibiwa kwa nguvu zaidi na gharama kubwa kwa wavamizi.
-
Mwanajeshi wa Zamani wa Jeshi la Marekani Atembelea Haram ya Bibi Fatima Ma'suma (a.s) Mjini Qum
Mwanajeshi wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la Marekani, Nicholas Ken O'Keefe, ametembelea Haram Tukufu ya Bibi Fatima Ma'suma (a.s) mjini Qum nchini Iran wakati wa ziara yake nchini humo.
-
Taliban: Pakistan imemuua Jenerali Ikramuddin Saree kwa mauaji ya kulengwa Jijini Tehran
Taliban imedai kuwa Pakistan, kupitia shirika lake la ujasusi la ISI, ilihusika na mauaji ya kulengwa ya Jenerali Ikramuddin Saree Jijini Tehran. Kwa mujibu wa vyanzo vya kiusalama, mauaji hayo yalilenga kuvuruga uhusiano kati ya Kabul na Tehran, na tukio hilo bado linaendelea kuibua mjadala na tahadhari za kiusalama.
-
Balozi Matinyi Auvunja Msimamo wa Kibeberu: Tanzania Si Taifa la Huruma, Bali Nguvu Inayoinuka Kiuchumi
Katika ujumbe wake mzito kwa jumuiya ya kimataifa, Balozi Matinyi alisisitiza kuwa Tanzania ya sasa inatafuta wafanyabiashara na wawekezaji, si wafadhili. Taifa linaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Reli ya Kisasa (SGR), pamoja na mradi wa gesi asilia unaokadiriwa kugharimu dola bilioni 42, miradi inayolenga kuimarisha uchumi wa taifa na nafasi yake katika uchumi wa kikanda na kimataifa.
-
Mwisho mchungu wa ushirikiano wa askari wa Afghanistan na serikali ya Marekani
Wanajeshi wa zamani wa Afghanistan ambao walikuwa wakishirikiana na shirika la ujasusi la Marekani, baada ya miaka mingi ya huduma, sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa wakiwa nchini Marekani.
-
Sharīatmadār katika hafla ya uzinduzi wa filamu ya “Wakili”:
Sayyid Isa Tabatabaei alipuliza roho ya mapambano ndani ya mwili wa jamii ya Kishia / Maadamu kuna uvamizi, basi mapambano yataendelea kuwa hai
Balozi wa zamani wa kitamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon na mshauri wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: “Ikiwa Imam Musa Sadr alikuwa mwanzilishi wa taasisi za kijamii na kitamaduni za Waislamu wa Kishia nchini Lebanon, basi Sayyid Isa Tabatabaei ndiye aliyepuliza roho ya mapambano ndani ya jamii ya Kishia na kuifanya roho hiyo kuwa sehemu ya utambulisho wao. Kutokana na jitihada zake, ndipo mapambano ya kisasa ya Lebanon yalipozaliwa - mapambano ambayo baadaye yalifikia kilele chake katika kuunga mkono dhana na malengo ya Palestina.”
-
Mfumo wa Mahakama wa Serikali ya Joulani umetoa amri ya kukamatwa pasina kuwepo (arrest in absentia) dhidi ya Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad
Hapo awali, mfumo wa mahakama wa Ufaransa katika Mwezi wa Novemba 2023, uliitoa hukumu ya kukamatwa dhidi ya Bashar Assad kwa ushiriki katika mashambulizi ya kemikali yaliyotolewa na majeshi yake mwaka 2013 katika Ghouta na maeneo mengine karibu na Damascus, yaliyopelekea vifo vya watu wengi.