Katika kikao rasmi kilichofanyika kati ya Hujjatul-Islam wal-Muslimin Dkt. Mir Muhammadi, Rais wa Kituo cha Huduma za Vyuo vya Dini (Hawza), na Dkt. Al-Sadiq, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Iraq, pande zote mbili zilikubaliana juu ya umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kitamaduni na kidini pamoja na kufanikisha uwepo wa wanafunzi wa dini na mahujaji wa Kiirani katika maeneo matukufu ya Iraq (Atabat Aaliyat).
Katika hali ya kuongezeka kwa misimamo mikali nchini Syria, waasi wanaodhibiti Damascus wamechoma moto na kuharibu makaburi na maeneo ya ziarah yanayomilikiwa na makundi ya wachache wa kidini wa Syria.