Kulingana na Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) -Abna- Gazeti la RT la Urusi limetoa ripoti mpya kuhusu kuangamizwa kabisa kwa jengo la Taasisi ya Weizaman la Israel na makombora ya Kiiran.
Taasisi hii ya utafiti wa Silaha za Serikali ya Utawala wa Kizayuni - Israeli, iliyopo katika mji wa Rohooth, ilianzishwa na kuasisiwa mwaka 1934.
Taasisi hiyo ni mojawapo ya vituo vya juu kabisa vya utafiti vya utengenezaji wa silaha za kikundi cha kigaidi kinachojulikana kama Hagana.
Your Comment