ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Mwenyezi Mungu (s.w.t) Alimpa Ali bin Abi Talib Lakabu ya “Amirul Muuminina”

    Wa Kwanza Kuitwa Amirul-Muuminina:

    Mwenyezi Mungu (s.w.t) Alimpa Ali bin Abi Talib Lakabu ya “Amirul Muuminina”

    Ukufungua kurasa za Historia ya Maisha yake safi ya Imam Ali bin Abi Talb (a.s), utamkuta kwamba yeye ni wa mwanzo katika kila kitu, kisha wengine wanafuata nyuma yake katika kitu hicho.

    2025-03-21 21:36
  • Matukio 4 yanayowezekana kuwa hatima ya mpinzani wa Erdogan katika uchaguzi baada ya kukamatwa kwake

    Matukio 4 yanayowezekana kuwa hatima ya mpinzani wa Erdogan katika uchaguzi baada ya kukamatwa kwake

    Hivi sasa, kuna hali (ihtimali) nne zinazowezekana kwa ajili ya mustakabali wa Akram Imam-oglu, Meya wa Istanbul na Mgombea anayetarajiwa katika uchaguzi wa Rais wa Uturuki.

    2025-03-21 17:08
  • Ripoti ya Picha | Hotuba ya Nowruz ya Kiongozi wa Mapinduzi katika umati wa tabaka tofauti za watu

    Ripoti ya Picha | Hotuba ya Nowruz ya Kiongozi wa Mapinduzi katika umati wa tabaka tofauti za watu

    Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna -; Katika siku ya kwanza ya Mwaka Mpya wa 1404, Mwaka wa "Uwekezaji kwa ajili ya Uzalishaji", Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo ​​asubuhi (21/03/2025 Ijumaa) alihudhuria katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) na kutoa Hotuba kwa watu wa matabaka mbalibali wa Tehran na kundi la viongozi.

    2025-03-21 16:42
  • Harakati ya Hamas Imekanusha Kusimamishwa kwa Mazungumzo

    Harakati ya Hamas Imekanusha Kusimamishwa kwa Mazungumzo

    Harakati ya Hamas imesema kuwa ripoti ya vyombo vya habari vya Kiebrania kuhusu kusitisha mawasiliano au kusitishwa kwa mazungumzo ya kusitisha mapigano si ya kweli.

    2025-03-21 16:30
  • Wamarekani wanapaswa kujua: Vitisho havipeleki popote; Kofi kali la usoni ni jibu la uovu wowote

    Wamarekani wanapaswa kujua: Vitisho havipeleki popote; Kofi kali la usoni ni jibu la uovu wowote

    Ayatollah Khamenei amesisitiza kuwa, Wamarekani wanapaswa kujua kwamba kamwe hawatafika popote kwa vitisho dhidi ya Iran na akasema: Wao na wengine wanapaswa kujua kwamba iwapo watafanya jambo lolote ovu kwa Taifa la Iran, watapigwa kofi kali.

    2025-03-21 15:47
  • Imani na matendo mema ni funguo za furaha ya Mwanadamu kwa mtazamo wa Qur'an

    Imani na matendo mema ni funguo za furaha ya Mwanadamu kwa mtazamo wa Qur'an

    Hojjat-ul-Islam Madani, katika hafla ya kuhuisha usiku wa 19 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huko Mahdiyeh, Rasht, alisisitiza juu ya umuhimu wa kufikiri kabla ya dhikri katika Usiku wa Lailatul - Qadri, na kuanzisha mambo kama vile imani kwa Mwenyezi Mungu na matendo ya haki kama nguzo mbili za msingi za furaha na ustawi wa Binadamu kwa mtazamo wa Qur'an Tukufu

    2025-03-21 02:44
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom