-
Rais wa Iran: Mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran Yameleta Umoja wa Kitaifa Usio na Mfano
"Leo tunashuhudia kwa macho yetu kuwa kila Muirani - awe ni mfuasi wa Serikali au mpinzani wake - amekuwa sauti moja katika kutetea hadhi, uhuru, na mamlaka ya nchi yetu".
-
Satelaiti ya Iran "Nahid-2" yazinduliwa kwa kutumia roketi ya "Soyuz" iliyoirusha kwenda anga za mbali +Video
Satelaiti hii ya mawasiliano imetengenezwa kwa juhudi za wataalamu wa sekta ya anga za juu ya Iran na itatumika kwa ajili ya mawasiliano ya kisatelaiti.
-
Swala ya Ijumaa - Madrasa Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni | Changamoto za Kijamii Zinazotokana na Kuachana na Mafundisho ya Dini
Sala ilisaliwa kwa nidhamu kubwa na utulivu wa hali ya kiroho, na iliacha athari kubwa kwa washiriki wote katika ibada hii.
-
Mafanikio Makubwa ya Iran: Yarusha Satelaiti (Nahid-2) katika Obiti na Kufanikiwa Kutesti Kombora la Khorramshahr-5 lenye uwezo wa kufika hadi 12000KM
Iran imejiweka kwenye orodha ya mataifa 9 duniani yaliyofanikiwa kubuni, kutengeneza na kurusha satelaiti yake kwa uwezo wa ndani kabisa.
-
Dua ya Nudba Yasomwa kwa Hisia Kuu na Mabinti wa Madrasa ya Hazrat Zainab (SA) Kigamboni – Wakiadhimisha Mapenzi kwa Imam wa Zama (a.t.f.s)
"Dua ya Nudba ni kilio cha roho inayotamani haki irejee. Ni kilio cha wale waliomsubiri Imam wao wa Zama kwa subira na msimamo."
-
Imam Sajjad (a.s): Mlinzi wa Ujumbe wa Karbala kwa Dua, Subira na Ukweli – Sheikh Athman Akbar
Sheikh Athman Akbar alihimiza jamii ya Kiislamu kuiga nyayo za Imam Sajjad (a.s) kwa kuitumia dua kama silaha ya kiroho, kuimarisha subira katika majaribu, na kusimamia ukweli mbele ya dhulma ili kuendeleza ujumbe wa Karbala katika zama zote.