Jimbo la Florida nchini Marekani limetangaza rasmi kwamba kundi la Ikhwan al-Muslimin na Baraza la Mahusiano ya Kiislamu–Kimarekani (CAIR) ni mashirika ya kigaidi ya kigeni.
Katika taarifa aliyotoa, Abbott pia ametangaza kizuizi cha umiliki wa ardhi ndani ya Texas kwa Baraza la CAIR. Haya yanajiri huku serikali ya shirikisho ya Marekani ikiwa haijawahi kuiweka Ikhwanul Muslimin au CAIR katika orodha ya mashirika ya kigaidi.