Akhera

  • “Silaha ya Allahu Akbar” italeta uamsho wa Umma wa Kiislamu"

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:

    “Silaha ya Allahu Akbar” italeta uamsho wa Umma wa Kiislamu"

    Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa msimu wa Hijja ya mwaka 1447 Hijria, Ayatollah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei amesisitiza kuwa kauli ya “Allahu Akbar” imekuwa silaha ya msingi ya Umma wa Kiislamu katika kupambana na dhulma na ubeberu. Ameeleza kuwa uamsho wa Kiislamu utaendelea kuenea duniani kupitia mshikamano wa Waislamu, huku akisisitiza umuhimu wa kujitenga na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni katika nyanja za kisiasa na kijamii.

  • Malawi | Sala ya Ijumaa yajadili kuhusu Moto wa Jahannam na Sifa Zake + Picha

    Malawi | Sala ya Ijumaa yajadili kuhusu Moto wa Jahannam na Sifa Zake + Picha

    Katika maelezo yaliyojaa mazingatio, khatibu alibainisha kuwa Moto wa Jahannamu una mawe yanayochoma hadi kufikia ubongo wa waliomo ndani yake, na kwamba kila aina ya moto ni adhabu maalumu kwa aina fulani ya dhambi, kama zilivyobainishwa katika Hadithi za Mtume.

  • Hotuba ya 21 ya Nahjul Balagha: "Kuwa na mzigo mwepesi ili mfike (kwenye safari yenu)!"

    Maneno Mafupi, Yenye Maana Pana:

    Hotuba ya 21 ya Nahjul Balagha: "Kuwa na mzigo mwepesi ili mfike (kwenye safari yenu)!"

    تَخَفَّفُوا تَلْحَقُوا، فَإِنَّمَا يُنْتَظَرُ بِأَوَّلِكُمْ آخِرُكُمْ "Punguzeni mizigo ili mfike (kwenye malengo ya safari yenu), kwa maana waliotangulia wanawasubiri mlio nyuma." Hotuba ya 21 ya Nahjul Balagha – Mtazamo wa Akhera katika Jitihada za Binadamu: Hotuba ya 21 ya Nahjul Balagha inaangazia maisha ya binadamu kwa mtazamo wa akhera, na inaeleza kwamba: Binadamu anapaswa kuwa mwepesi wa mizigo (wa kidunia), ili aweze kwa urahisi kutoka duniani na kuelekea kwenye maisha ya akhera. Hili linaonyesha kuwa jitihada za binadamu si kwa ajili ya dunia pekee, bali kwa ajili ya ukamilifu wa kiutu (kamilifu) na maisha ya milele.

  • "Sifa Sita za Muumini Zinazomhakikishia Pepo"

    "Sifa Sita za Muumini Zinazomhakikishia Pepo"

    Maelezo yafuatayo yanaeleza matendo au sifa sita ambazo kuyatekeleza kunaweza kusababisha wokovu na kuingia peponi. Mambo haya sita ni nguzo za msingi za maisha ya kiimani na yenye kujitolea. Maandiko haya yanalenga, kwa kuyataja mambo haya, kutoa njia iliyo wazi kuelekea kwenye furaha ya Akhera.