Alama
-
Mshauri wa Kamanda wa IRGC: Mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei Yatakuwa Chachu ya Mabadiliko Makubwa Kanda ya Mashariki ya Kati
Mshauri wa Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yatakuwa hatua muhimu itakayochochea maendeleo na mabadiliko ya kisiasa katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s): Iran Itaendelea Kuimarisha Uwezo Wake kwa Azma Kubwa Zaidi
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s), Meja Jenerali Ali Abdollahi, amesema Iran itaendelea kuimarisha uwezo wake wa ulinzi, usalama na maendeleo, akisisitiza kuwa taifa hilo halitayumba mbele ya vitisho na mashinikizo ya maadui wake.
-
Mwanajeshi wa Zamani wa Marekani: Uzayuni ni Adui wa Pamoja wa Mataifa, Iran ni Alama ya Kusimama Dhidi ya Dhuluma
Nicholas Ken O’Keefe amesema kuwa taswira ya Iran inayotolewa na baadhi ya vyombo vya habari vya Magharibi haifanani na hali halisi, akisisitiza kuwa Iran imeonyesha uwezo mkubwa wa kustahimili mashinikizo ya kimataifa na kuwa mfano wa kupinga dhuluma.
-
Timu ya Wanawake ya Volleyball ya Iran Yatwaa Ubingwa wa CAVA kwa Mara ya Pili Mfululizo
Timu ya taifa ya wanawake ya volleyball ya Iran imeendelea kuonesha ubabe wake katika ukanda wa Asia ya Kati baada ya kutwaa ubingwa wa Mashindano ya CAVA 2026 kwa kuifunga Kazakhstan mabao 3-1 katika mchezo wa fainali uliofanyika mjini Kathmandu, Nepal.
-
Operesheni ya Kisaikolojia huko Karbala: Uchambuzi wa Kihabari wa Ujumbe wa Imam Hussein (a.s) kabla na baada ya Ashura
Mapinduzi ya Imam Hussein (a.s) hayakuwa vita vya kijeshi pekee; bali yalikuwa vita kamili vya kihabari na kisaikolojia vilivyolenga nyoyo na akili za watu. Kuanzia mahubiri ya Makka hadi ujumbe ulioandikwa kwa damu huko Karbala, Imam Hussein (a.s) aliwezaje kuhamasisha maoni ya umma dhidi ya utawala wa Yazid? Uchambuzi wa mkakati wa mawasiliano wa Imam (a.s) katika mojawapo ya nyakati nyeti zaidi katika historia ya Kishia, unaonesha mfano wa kipekee wa uanaharakati wa kihabari unaosimama juu ya ukweli.
-
Profesa kutoka Lebanon katika mahojiano na ABNA:
Jina la Nasrallah limehusishwa na usalama na uaminifu / Silaha za Hezbollah zitaendelea kuwa sehemu ya mlingano wa Lebanon na eneo la kikanda
Yeye (Sayyid Hassan Nasrallah) alihesabiwa kuwa alama ya heshima na mapambano kwa wote, na alikuwa mfano wa malengo ya sehemu kubwa ya wapiganaji wa muqawama wa Kishia ambao kwa vitendo walitaka kufikia mamlaka, uhuru, na kujitegemea kwa Lebanon.
-
Kitabu cha Lugha Tatu Kuhusu Tamasha la Kitaifa la Alama ya Ukarimu Chapishwa Hivi Karibuni
Kwa mujibu wa Sekretarieti ya Kisayansi na Tathmini ya Tamasha, mchakato wa ukusanyaji na uhariri wa juzuu ya kwanza ya kitabu hiki upo katika hatua za mwisho.