Yeye (Sayyid Hassan Nasrallah) alihesabiwa kuwa alama ya heshima na mapambano kwa wote, na alikuwa mfano wa malengo ya sehemu kubwa ya wapiganaji wa muqawama wa Kishia ambao kwa vitendo walitaka kufikia mamlaka, uhuru, na kujitegemea kwa Lebanon.
Kwa mujibu wa Sekretarieti ya Kisayansi na Tathmini ya Tamasha, mchakato wa ukusanyaji na uhariri wa juzuu ya kwanza ya kitabu hiki upo katika hatua za mwisho.