Serikali ya Punjab imewaita wamiliki wa vibali vya kufanya maombolezo, waandaaji wa vituo vya kutoa huduma za bure (maisha ya Sadaka) na wajumbe wa kamati za ulinzi, na kuwashinikiza watangaze rasmi kujitenga na matembezi ya Arbaeen kuelekea Karbala.
Haramu Takatifu ya Abbas imebashiri kuwa idadi ya mahujaji watakaoingia katika mkoa wa Karbala kwa ajili ya maadhimisho ya Arbaeen mwaka huu itaongezeka ikilinganishwa na mwaka uliopita.