Australia
-
Onyo la Profesa wa Chuo Kikuu cha Australia kuhusu wimbi la chuki dhidi ya Uislamu baada ya tukio la kigaidi la Sydney
Mark Kenny, Profesa wa Masomo ya Australia katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Australia (Australian National University), ameonyesha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa hatari ya chuki dhidi ya Uislamu baada ya shambulio la Sydney na kutoa onyo kuhusu suala hilo.
-
Telegraph: Tuhuma za Israel dhidi ya Hezbollah na Iran katika mauaji ya Bondi hazina ushahidi wa kuthibitishwa
Gazeti la Telegraph limeripoti kuwa Israel imehusisha mauaji ya Bondi na Hezbollah pamoja na Iran bila kuwasilisha ushahidi wa kuaminika, huku maafisa wa Australia wakiwa hawajathibitisha ushiriki wowote wa nje, na uchunguzi ukiendelea.
-
Mufti Mkuu wa Australia alilaani shambulio la silaha huko Sydney
Mufti Mkuu wa Australia na New Zealand amelilaani vikali shambulio la silaha lililotokea katika Ufukwe wa Bondi, Sydney, na kulitaja kuwa ni kitendo cha kigaidi.
-
Mwigizaji wa Australia Aukosoa Vikali Utawala wa Kizayuni kwa Kutojali Maisha ya Wapalestina
Amesema: “kila siku nashuhudia dharau na kutojali maisha ya Wapalestina kwa upande wa Waisraeli,” akieleza kuwa mwenendo huo ni “wa aibu” na kwamba wale wanaotekeleza “matendo haya mabaya” wanairudisha nyuma ubinadamu kila siku.