Bab Al-Mandab
-
Mvutano wa Hormuz na Bab al-Mandab Waongezeka; Iran Yaweka Masharti ya Usafiri wa Baharini, Yemen Yatangaza Shambulio dhidi ya Meli ya Mafuta ya Saudi
Iran imesema imefikia uelewano wa awali na Oman kuhusu njia inayopendekezwa katika Mlango wa Hormuz, huku ikisisitiza usajili wa kila meli inayoingia na kutoka katika eneo hilo. Wakati huo huo, Yemen imetangaza kushambulia meli ya mafuta ya Saudia katika Ghuba ya Aden, huku ripoti zikionyesha kupungua kwa meli zinazopita Bab al-Mandab na kuongezeka kwa mvutano wa usafiri wa baharini.
-
Harakati ya Ansarullah wa Yemen Yaikosesha Saudi Arabia Dola Milioni 504 kwa Kuzuia Meli zake Kupita Mlango Bahari wa "Bab al-Mandab"
Takwimu za Windward Marine zakadiria kuwa Saudi Arabia imepata hasara ya dola milioni 504 kutokana na kufungwa kwa Mlango wa Hormuz na Bab al-Mandab, kiasi kinachodaiwa kuwa sawa na asilimia 90 ya mapato yake ya mafuta.
-
Upinzani wa Iraq Waunga Mkono Mkakati wa Yemen wa Kufunga Mlango wa Bab al-Mandab
Abu Alaa al-Wala’i: “Yemen ina haki ya kufunga Mlango wa Bab al-Mandab ili dunia isikie kwamba wananchi wa Yemen hawatakufa kimya.”
-