Tukio la kuhujumiwa na kudhalilishwa Qur’an Tukufu huko Stockholm, pamoja na mlolongo wa matusi na dharau zilizotokea Ulaya na Marekani, linafichua uhalisia ambao ndani yake chuki dhidi ya Uislamu imegeuzwa kuwa chombo cha kisiasa mikononi mwa mikondo ya mrengo wa kulia uliokithiri na washirika wao wa Kizayuni.
Alielekeza maneno yake kwa Rais Joseph Aoun, akisema:
"Uliwaambia watu wa Muqawama kuwa waitegemee Serikali – lakini haukusema ni Serikali ipi hiyo? Watu wetu hawako tayari kuwa wahanga wa wauaji ambao watawatendea kama walivyowatendea Wapalestina."