Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, katika ujumbe wake kwa kongamano la kuheshimu wahifadhi na wahudumu wa Markazi ya Qur’ani Tukufu, amesema kuwa Aya za Qur’ani ni mwaliko wa kutafakari kwa undani, mwaliko unaoweza kuangazia na kuongoza maisha na mienendo ya mwanadamu.
Rais alisema: “Mafanikio haya ni uthibitisho wa uwezo wa vijana na wataalamu wa Kiirani ambao, licha ya vikwazo vya kigeni, wameweza kuendeleza miradi mikubwa ya nyuklia kwa manufaa ya mwanadamu.”
Hamad bin Faisal Al-Busaidi alielezea furaha yake kwa ziara yake nchini Iran na kukutana na Rais Pezeshkian, akisema kuwa uhusiano wa Iran na Oman ni wa kipekee, wa kihistoria, wa kina na wa ukweli, usio na mashaka. yoyote.