Fatima
-
Mtume Muhammad (saww)anasema: "Upendo kwa Fatima unafaa (unamnufaisha muumini) katika sehemu mia - hususan wakati wa Mauti, kaburini na katika Sirati"
Mtume (saww) anatuambia: Ikiwa unampenda Fatima (a.s) kwa moyo wa kweli, basi upendo huo utakuwa mwanga, kinga, na msaada wako katika hatua ngumu zaidi za Akhera.
-
Bi. Fatma Fredrick Kikkides:
Mratibu JMAT Taifa | Taarifa Muhimu kwa Waheshimiwa Viongozi wa JMAT na Washiriki wa Matembezi ya Hiari ya Amani ya (MHA)
Lengo kuu la Matembezi haya: Kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa amani na utulivu. Kauli Mbiu: “Uchaguzi wa AMANI Ndio Msingi wa UTULIVU Wetu.”
-
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajiun:
Na Mwisho Mwema ni wa Wale Wamchao Mwenyezi Mungu
Marhuma, Ukthti Fatima Mwiru, Miaka yote mpaka mwisho wa Uhai wake, alikuwa mstari wa mbele katika utumishi bora uliotuka wa kuhudumia Uislamu na Waislamu, na alikuwa ni Kinara Mtetezi wa Haki za Wanyonge na Wadhulumiwa wa Palestina, kwa kupaza Sauti yake katika Jamii ya Wanawake na Watu wote katika kuungana na Wanawake na Watoto wa Palestina wanaokumbana na Mauaji ya Kimbari ya Utawala Haram wa Kizayuni.