Furaha
-
Mkutano wa Viongozi wa Iran na Iraq:
Pezeshkian: Waislamu wafanye jitihada kusitisha jinai za utawala wa Kizayuni Al-Sudani: Juhudi za nchi za Kiislamu zisibaki kwenye matamko tu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri Mkuu wa Iraq wametoa msisitizo juu ya ulazima wa kuchukua msimamo mmoja wa pamoja kati ya nchi za Kiislamu, ili kuwe na hatua madhubuti na za vitendo za kusitisha na kuzuia marudio ya jinai za utawala wa Kizayuni.
-
"Sifa Sita za Muumini Zinazomhakikishia Pepo"
Maelezo yafuatayo yanaeleza matendo au sifa sita ambazo kuyatekeleza kunaweza kusababisha wokovu na kuingia peponi. Mambo haya sita ni nguzo za msingi za maisha ya kiimani na yenye kujitolea. Maandiko haya yanalenga, kwa kuyataja mambo haya, kutoa njia iliyo wazi kuelekea kwenye furaha ya Akhera.
-
Imani na matendo mema ni funguo za furaha ya Mwanadamu kwa mtazamo wa Qur'an
Hojjat-ul-Islam Madani, katika hafla ya kuhuisha usiku wa 19 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huko Mahdiyeh, Rasht, alisisitiza juu ya umuhimu wa kufikiri kabla ya dhikri katika Usiku wa Lailatul - Qadri, na kuanzisha mambo kama vile imani kwa Mwenyezi Mungu na matendo ya haki kama nguzo mbili za msingi za furaha na ustawi wa Binadamu kwa mtazamo wa Qur'an Tukufu