Hadhi
-
Mazingira ya Mazishi ya Imam Shahidi (r.a) Kufanyika kwa Maelekezo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya Kuaga na Kusimamia Mazishi ya Imam Shahidi (r.a) amesema kuwa maandalizi ya mazishi hayo yanafanyika kwa uongozi na maelekezo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, huku akizitaka vyombo vya habari kuhifadhi tukio hilo la kihistoria kwa ajili ya vizazi vijavyo.
-
John bin Huway (r.a): Mtumwa Mweusi Aliyeandika Historia ya Uaminifu kwa Imam Hussein (a.s)
Miongoni mwa mashujaa waliotukuka katika tukio la Karbala yupo John bin Huway (r.a.), ambaye historia yake inaonyesha wazi kwamba mbele ya Mwenyezi Mungu heshima ya mtu haipimwi kwa rangi, kabila wala hadhi ya kijamii, bali kwa imani, uchamungu na uaminifu kwa haki.
-
Aref: Hafla za Kuaga na Mazishi ya Imam Shahidi Zitafanyika kwa Hadhi Inayolingana na Nafasi Yake ya Kihistoria na Kimataifa
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, amesema maandalizi yanaendelea kuhakikisha hafla za kuaga na mazishi ya Imam Shahidi zinafanyika kwa ushiriki mkubwa wa wananchi na kwa hadhi inayostahili nafasi yake ya kihistoria na kimataifa.
-
Dua ya Kwanza ya Siku ya Mubahala: Njia ya Kumtambua Ahlul-Bayt (a.s.)
Miongoni mwa amali za Siku ya Mubahala kuna dua mbili zinazosomwa baada ya swala. Dua ya kwanza, ambayo haijulikani sana, inahusishwa na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuongozwa kwenye maarifa ya Ahlul-Bayt (a.s.) na kubainisha nafasi yao ya kipekee katika Uislamu.
-
Nafasi Muhimu ya Nahjul-Balagha katika Elimu ya Bara Hindi:
Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) na Kituo cha Fikra za Kiislamu Waandaa Webina ya Kimataifa Kuhusu Nafasi Muhimu ya Nahjul-Balagha katika Elimu
Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kwa kushirikiana na Kituo cha Fikra za Kiislamu wameandaa webina ya kimataifa iliyopewa jina: “Hadhi ya Nahj al-Balagha katika Bara la Hindi na Nafasi Yake katika Elimu.” Tukio hili limefanyika Jumamosi, tarehe 15 Novemba 2025.
-
Tone kutoka Nahjul-Balagha 27 | Kuheshimu Hadhi ya Imamu ni Nini?
Matokeo ya utiifu ni nini?. Amirul-Mu’minin Ali bin Abi Talib (AS) katika khutba ya 156 anasema: «إِنْ أَطَعْتُمُونِی فَإِنِّی حَامِلُکُمْ إِنْ شَاءَ اللَّهُ عَلَی سَبِیلِ الْجَنَّةِ» Yaani: “Mkinitii mimi – mimi kama Imamu– bila shaka nitawaongoza katika njia ya Peponi"