Hali
-
Waislamu wa Argentina Wakati wa Ramadhani: Hali ya Kipekee na Ushiriki wa Kipekee wa Kiimani
Mwezi wa Ramadhani nchini Argentina unaenda sambamba na siku za kufunga zinazodumu chini ya saa 9, jambo linalotoa hali tofauti ya kiroho na kimvuto cha kiimani. Hali hii inarahisisha waislamu kushiriki kwa uhuru zaidi katika ibada zao za Ramadhani na kuimarisha mshikamano wa kijamii na kifamilia.
-
Baghdad yafuatilia kuongezeka kwa uwepo wa ISIS
Wasiwasi wa kiusalama nchini Iraq kuhusu shughuli za ISIS mpakani na Syria umeongezeka, licha ya hatua kali za kiusalama, huku kukiwa na maonyo ya kiintelijensia na ongezeko la tahadhari.
-
Mkutano wa Kwanza wa Mielekeo ya Kiislamu Umefanyika nchini Ureno kwa Lengo la Kukuza Mazungumzo ya Kidiini +Picha
Kundi la wasomi wa Kiislamu na Kikristo limekutana katika mji mkuu wa Ureno, Lisbon, kujadili nafasi ya Ushi’a, mazungumzo ya dini tofauti, pamoja na fursa za pamoja za dini katika kufanikisha amani ya dunia.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain:
Kujiondoa kwenye njia ya Muqawama (Mapambano ya kupinga dhulma) ni sawa na fedheha na udhalili
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain alisisitiza kuwa kuacha njia ya Muqawama (mapambano dhidi ya wavamizi na dhulma) hakuzai chochote isipokuwa fedheha, udhalilishaji na utumwa.