Husseiniyyah
-
Shariatmadar katika hafla ya uzinduzi wa filamu ya “Wakili”:
Sayyid Isa Tabatabaei alitia roho ya mapambano ndani ya jamii ya Kishia / Mradi bado kuna uvamizi, basi mapambano yataendelea kuishi
Kaimu balozi wa zamani wa Ofisi ya Utamaduni wa Iran nchini Lebanon na mshauri wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) amesema: “Iwapo Imam Musa Sadr ndiye aliyeweka misingi ya taasisi za kijamii na kitamaduni za Waislamu wa Kishia nchini Lebanon, basi Sayyid Isa Tabatabaei ndiye aliyepulizia roho ya mapambano ndani ya jamii hiyo na kuifanya roho ya mapambano iwe sehemu ya utambulisho wao.” Kutokana na juhudi zake, harakati ya mapambano ya kisasa nchini Lebanon ilizaliwa — mapambano yaliyofikia kilele chake katika kuunga mkono dhana ya Palestina.
-
Umuhimu wa Tabligh, Malengo na Mipango ya Jamiatul - Mustafa (S) nchini Tanzania
Jamiatul - Mustafa ipo tayari kusaidia na kushirikiana na wanaofanya kazi ya kufikisha Ujumbe, Elimu na Maarifa ya Ahlul_Bayt (a.s).
-
Hafla ya Ufunguzi wa Husseiniyyah Mpya Jijini Arusha - Tanzania, kwa jina la Imam Ridha (a.s)
Wasomaji wa Kitaifa na Kimataifa wa Qur'an Tukufu wa Tanzania pamoja na Masheikh waliotoka maeneo mbalimbali ya nchi, ni miongoni mwa waliodhuhuria katika Hafla hiyo adhimu.