Chaguo la Nyuklia kwa Riyadh: Al-Faisal, alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Saudi Arabia kuendeleza uwezo wa nyuklia, alisema: “Hili ni chaguo ambalo Riyadh inapaswa kulichunguza kwa uzito na kwa umakini mkubwa.”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
Mtoa Mada: Sheikh Taqi Zakariya. Tarehe: Jumamosi, 16-08-2025. Muda: Kuanzia Saa 4:00 Ask Asubuhi hadi 6:00 Mchana. Eneo: Muswalla wa Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam. Mwaliko huu ni kwa Wote.