Idara
-
Turki Al-Faisal: Israel ndiyo tishio kuu kwa uthabiti wa eneo hili; si Iran
Chaguo la Nyuklia kwa Riyadh: Al-Faisal, alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Saudi Arabia kuendeleza uwezo wa nyuklia, alisema: “Hili ni chaguo ambalo Riyadh inapaswa kulichunguza kwa uzito na kwa umakini mkubwa.”
-
Vyombo vya Habari vya Israel: Kuongezeka kwa Nguvu ya Iran na Muungano wa Muqawama “Kunatia Wasiwasi”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
-
Chuo Kikuu cha al-Mustafa (s) Dar es Salaam - Tanzania Chaandaa Kongamano la Kielimu Kuhusu: "Dakika za Mwisho za Maisha ya Mtume Muhammad (s.a.w.w)"
Mtoa Mada: Sheikh Taqi Zakariya. Tarehe: Jumamosi, 16-08-2025. Muda: Kuanzia Saa 4:00 Ask Asubuhi hadi 6:00 Mchana. Eneo: Muswalla wa Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam. Mwaliko huu ni kwa Wote.
-
"Wadau wa sekta ya utamaduni wa Afghanistan watilia mkazo juu ya ukarabati wa "Gonbad-e-Begum" / 'Kubba ya Malkia' katika Mkoa wa Ghazni"
"Baadhi ya wadau wa sekta ya utamaduni wa Afghanistan wametilia mkazo umuhimu wa ukarabati na urejeshwaji wa jengo la kihistoria la 'Kubba ya Malkia' katika Mkoa wa Ghazni."