Imam
-
Israel Leo Iko Dhaifu, Iran Imebaki Imara – Sheikh Naeem Qasim
Sheikh Naeem Qasim na Katibu Mkuu wa Hezbollah wanasema kuwa Israel leo iko dhaifu kuliko hapo awali, huku Iran chini ya uongozi wa Imam Khamenei ikibaki imara, huru na thabiti. Mapinduzi ya Iran yameendeleza upinzani katika eneo kwa miaka 47 bila kutegemea Mashariki au Magharibi, na Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa katika mapambano yake, hasa dhidi ya uvamizi wa Israel.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s): Imam Khomeini (r.a) Aliirejesha Dini Kutoka Pembezoni Hadi Kiini cha Jamii na Utawala
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s), Ayatullah Reza Ramadhani, amesema kuwa Imam Khomeini (r.a) aliirejesha dini kutoka pembezoni hadi kuwa kiini cha maisha ya kijamii na mfumo wa utawala, akithibitisha kuwa dini inaweza kuwa msingi wa uongozi, haki ya kijamii na ujenzi wa ustaarabu wa kisasa.
-
Imam wa Sala ya Ijumaa wa Baghdad:
"Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa mashinikizo ya nje"
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad: Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa shinikizo za nje
-
Imam Khomeini (r.a) – Ni Kiongozi wa Kidini au wa Kitaifa
Imam ni sehemu ya utambulisho wa kitaifa na miongoni mwa fahari za nchi yetu, na ana sifa na tofauti na viongozi wengine wa kitaifa ambazo zinaonyesha ubora wake juu ya wengine.