Kamanda wa Kikosi cha Quds amesema marasimu ya mazishi ya Sayyid Ali Khamenei nchini Iraq yataonyesha mshikamano wa wananchi wa Iraq na Iran, na kuimarisha msimamo wa pamoja dhidi ya fitna na migawanyiko.
Kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Jenerali Ismail Qa'ani, ameonya kuwa Gaza pia ina uwezo mkubwa wa kujibu mashambulizi, akisema kuwa kupuuza maonyo ya Muqawama kunaweza kusababisha hasara kubwa zaidi.
Kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ismail Qaani, amesema kuwa hatua za wakati muafaka na za “busara” zinazochukuliwa na Yemen zinaonyesha uimara na mshikamano wa mhimili wa Muqawama. Amesema pia kuwa, endapo kutahitajika, pande nyingine zinaweza kujiunga katika hatua hizo.