Kulingana na vyanzo vya Iran, masimulizi yanayoenezwa na baadhi ya vyombo vya habari - hasa vya Magharibi - ni juhudi ya kuunda taswira kwamba kuna juhudi nyingi za kidiplomasia zinazoendelea, na kwamba Iran ndiyo inayozuia njia.
Jaribio la kujiua la Yifat Tomer-Yerushalmi limeibua mjadala mpana kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina na migawanyiko ya kisiasa ndani ya jeshi na serikali ya Kizayuni.
Mjumbe wa zamani wa Kamati ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesema kuwa Hashd al-Shaabi (Jeshi la Wananchi wa Iraq) ni mstari mwekundu kwao, kwani ni mali ya watu wote wa Iraq na linawakilisha makabila na madhehebu yote nchini humo.