Sheikh Khalifa Khamis amesema dunia sasa imeitambua Iran kama taifa kubwa, akisisitiza kuwa Imam Khomeini (ra) aliupa Uislamu nguvu katika nyanja za kidini, kisiasa na kijeshi.
Ayatullah Nuri Hamedani amesisitiza kuwa: Kwa uwazi tunatambua kwamba Amr bil Ma’ruf na Nahy anil Munkar ni kati ya wajibu muhimu zaidi wa Kiislamu — au ndio wajibu muhimu zaidi — na hilo peke yake linatosha kuonyesha hadhi ya juu ya wajibu huu, hivyo haipaswi kuuchukulia kuwa jambo dogo.