Wachambuzi wanasema kuwa hatua hii inaweza kuongeza uwezo wa Iran katika usalama wa kitaifa, usalama wa chakula, na uchunguzi wa hali ya mazingira, sambamba na kuipa nafasi ya kushindana katika teknolojia ya anga kimataifa.
Burkina Faso sasa imeizidi Senegal katika uzalishaji wa vitunguu na kuwa nchi ya tatu kwa uzalishaji mkubwa wa vitunguu katika eneo la Afrika Magharibi.Mafanikio haya yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na uongozi bora wa Rais Ibrahim Traoré, ambaye ameweka mkazo katika kuimarisha sekta ya kilimo na kuinua maisha ya wakulima wa kawaida.