Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameonya kwamba kundi la mapambano lina haki ya kulipiza kisasi kutokana na kuuawa kwa kamanda mwandamizi Haitham Al-Tabtabai, na akasisitiza kuwa kujisalimisha si chaguo kabisa.
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
Wauaji wa Imam Hussein (as) walipata mmoja mmoja Hukumu za Kidunia kwa kumwaga Damu Takatifu ya Mjukuu wa Mtume Muhammad (saww) katika Ardhi ya Karbala