Kisasi
-
Mkuu wa Mahakama ya Iran Asisitiza Umuhimu wa Umoja wa Kitaifa na Kusema Hakuna Tofauti Kuhusu Kulipiza Kisasi Dhidi ya Adui
Mkuu wa Mamlaka ya Mahakama ya Iran, Hojjat al-Islam Gholam-Hossein Mohseni Ejei, amesisitiza umuhimu wa kulinda na kuimarisha umoja wa kitaifa na mshikamano, akiwataka wananchi kuwa macho dhidi ya wachochezi wa fitina, wanaoeneza uvumi na wanafiki.
-
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran: Kumetokea Mlipuko Katika Meli Mbili za Mafuta Katika Mlango Bahari wa Hormuz
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran wamesema meli mbili za mafuta zililipuka na kusimama baada ya kujaribu kutumia njia iliyotajwa kuwa si salama na yenye hatari katika Mlango Bahari wa Hormuz.
-
IRGC yadai kushambulia vituo vya kimkakati vya Marekani nchini Jordan kwa makombora ya balestiki
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limedai kuwa katika awamu ya tatu ya wimbi la pili la Operesheni "Nasr-2" lililenga vituo vya kimkakati na maeneo ya wanajeshi wa Marekani katika kambi ya anga nchini Jordan kwa kutumia makombora ya balestiki.
-
Iran: Kuwaadhibu waliohusika na mauaji ya Kiongozi Shahidi ni haki ya taifa
Naibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa kuwawajibisha waliopanga, kutekeleza na kushiriki katika mauaji ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu pamoja na mashahidi wengine ni haki halali ya taifa la Iran.
-
Ayatollah Araki Akihutubia Vijana Duniani:
“Kumwaga damu ya Trump, Netanyahu na washirika wao ni ‘wajibu’; vijana wenye ari duniani kote watekeleze hukumu ya Mwenyezi Mungu”
Ayatollah Araki amesisitiza kwamba: “Ujumbe wa Kiongozi Mkuu na mpendwa kuhusu kulipiza damu ya Imam shahidi na mashahidi wote ni amri ya ‘wajibu wa kutii’. Na kwa wale wote wanaoweza kwa namna yoyote kuchangia katika kutekelezwa kwa jambo hilo, ni wajibu kuchukua hatua zinazohitajika haraka.”
-
Kamanda Abdollahi: Tutawalipiza Kisasi Waliomuua Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei (ra)
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (s), Luteni Jenerali Ali Abdollahi, amesema Iran itaendelea kufuatilia na kuwaadhibu waliomuua Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi pamoja na mashahidi wengine.
-
Panahian: Iran Itasimama Imara Kulipiza Kisasi cha Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei
Mwanazuoni wa Kiislamu wa Iran, Alireza Panahian, amesema wakati wa mazishi ya Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei kwamba Iran iko tayari kujitolea kwa gharama kubwa ili kuhakikisha kisasi kwa kuuawa kwa kiongozi huyo, akisisitiza kuwa jambo hilo halitaachwa bila majibu.
-
Qalibaf: Kulipiza kisasi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ni kuwaweka huru Waislamu kutoka katika dhulma za Marekani na utawala wa Kizayuni
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa njia ya kuenzi urithi wa Kiongozi Shahidi wa Umma wa Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ni kuendelea kuiunga mkono Kambi ya Muqawama, hususan Lebanon, na kupambana na ubeberu wa Marekani na utawala wa Kizayuni.
-
Vyombo vya Habari vya Kimataifa: Ujumbe wa kuzuia wa Iran kwa Marekani na Israel ni wazi na thabiti
Vyombo vya habari vya kimataifa vinaripoti kuwa ujumbe wa kuzuia wa Iran kwa Marekani na Israel ni wazi na thabiti. Iran ina uwezo wa makombora unaoweza kujibu kila kituo cha kijeshi katika umbali wowote. Pentagon inaweza kufanya mashambulizi madogo, lakini haina maandalizi ya kutosha ya kukabiliana na majibu ya Iran na inahitaji kuimarisha mifumo ya ulinzi katika Mashariki ya Kati.
-
Sheikh Naim Qassem: Kujisalimisha si chaguo; Hezbollah ina haki ya kulipiza kisasi kwa shambulio la Dahiyeh
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameonya kwamba kundi la mapambano lina haki ya kulipiza kisasi kutokana na kuuawa kwa kamanda mwandamizi Haitham Al-Tabtabai, na akasisitiza kuwa kujisalimisha si chaguo kabisa.
-
Vyombo vya Habari vya Israel: Kuongezeka kwa Nguvu ya Iran na Muungano wa Muqawama “Kunatia Wasiwasi”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.