Kuishi
-
Vipi tunaweza kujiona ni wenye thamani?
“Heshima ya Nafsi” ni mojawapo ya misingi muhimu ya maisha ambayo ina nafasi maalumu katika mafundisho ya Kiislamu. Dhana hii, tofauti na kiburi, inategemea kutambua thamani halisi ya mwanadamu na ni njia ya kuinua utu wa kiroho na kijamii. Kwa maneno mengine, heshima ya nafsi inamaanisha kuwa mtu anaona thamani yake kwa mujibu wa viwango vya kweli vya kiroho na maadili, akiepuka hisia za kujiboresha kwa kulinganishwa na wengine au kujivunia bila sababu. Hii huimarisha tabia za busara, huruma, na uthabiti wa kiroho, na pia husaidia mtu kuishi kwa heshima na wengine katika jamii.
-
Shia Development Organization na JAI Waongoza Zoezi Kubwa la Uchangiaji Damu Bukoba
Waandaaji wa tukio hilo wamesisitiza umuhimu wa jamii kujitolea na kuwajali wananchi wasiojiweza, hususan wale waliolazwa hospitalini na wanaohitajika kuongezewa damu ili kuendelea kuishi. Wamesema misingi ya Mafundisho ya Kiislamu kupitia watukufu wa Ahlul-Bayt (a.s) inasisitiza thamani ya utu, kusaidiana na kujitoa kwa ajili ya kuimarisha ustawi wa jamii.
-
Sheikh Naeem Qassem: Sisi ni watoto wa Imam Hussein (a.s) na hatuoni chaguo isipokuwa kuishi kwa heshima
Katibu Mkuu wa Hizbullah alipozungumza kwa ajili ya Siku ya Shahidi alisema: hatutaachana na silaha inayoitwawezesha kujitetea. Tumeachwa kwa shambulio na tutajilinda wenyewe.
-
Shariatmadar katika hafla ya uzinduzi wa filamu ya “Wakili”:
Sayyid Isa Tabatabaei alitia roho ya mapambano ndani ya jamii ya Kishia / Mradi bado kuna uvamizi, basi mapambano yataendelea kuishi
Kaimu balozi wa zamani wa Ofisi ya Utamaduni wa Iran nchini Lebanon na mshauri wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) amesema: “Iwapo Imam Musa Sadr ndiye aliyeweka misingi ya taasisi za kijamii na kitamaduni za Waislamu wa Kishia nchini Lebanon, basi Sayyid Isa Tabatabaei ndiye aliyepulizia roho ya mapambano ndani ya jamii hiyo na kuifanya roho ya mapambano iwe sehemu ya utambulisho wao.” Kutokana na juhudi zake, harakati ya mapambano ya kisasa nchini Lebanon ilizaliwa — mapambano yaliyofikia kilele chake katika kuunga mkono dhana ya Palestina.
-
Sheikh Juma Shughuli Kupitia Mahdi TV, Nairobi asisitiza kuwa: "Imani ya Mja Iwajibike na Vitendo"
Hii ni tafsiri muhimu inayoonyesha kuwa ushuhuda wa imani unaonyeshwa kivitendo, si kwa historia au usuhuba wa Mtu kwa Mtume au kuishi Zama moja na Mtume (saww).